Mungu Mwana – Mwongozo wa Mkufunzi: Capstone Module 10 Swahili Mentor Guide

/ 6 3

M U N G U M W A N A

c. Yesu alikuwa kiumbe changamani, mchanganyiko wa elementi za kibinadamu na za kiungu.

d. Neno liliutwaa mwili tu; lilichukua nafasi ya nafsi ya mwanadamu. Yesu hakuwa na nafsi ya kibinadamu bali nafsi ya kiungu .

e. Matatizo mengi ya fundisho hili: Yesu, kwa tafsiri hii, hana utashi au mapenzi ya kibinadamu. Ubinadamu haujathibitishwa (hili lilikataliwa kama uzushi katika Mtaguso wa Konstantinopoli [381]).

C. Athari za ubinadamu wa Yesu: Yesu ni mwanadamu kamili.

2

1. Huruma: kama kuhani wetu mkuu, anaweza kuelewa mahitaji na mahangaiko yetu (Ebr. 2:14-18).

2. Uwakilishi: kama Adamu wetu wa pili, anatuwakilisha kikamilifu kwa Baba (Rum. 5:12-).

3. Tumaini la kutokufa: kama achukuaye sura yetu halisi, tunajua kwamba miili yetu siku moja itafanana na mwili wake wa utukufu.

a. 1 Wakorintho 15:48-49

b. Warumi 8:29

c. Wafilipi 3:20-21

d. 1 Yohana 3:2

Made with FlippingBook - Share PDF online