Mungu Mwana – Mwongozo wa Mkufunzi: Capstone Module 10 Swahili Mentor Guide

9 4 /

M U N G U M W A N A

b. Kifo chake kilikuwa kati ya mada kuu zilizofanyiwa utafiti mwingi na manabii wa Agano la Kale, 1 Pet. 1:10-12.

3. Ni muhimu kama sababu ya wazi ya Umwilisho wake .

a. Waebrania 2:14-15

b. 1 Yohana 3:5

c. Mathayo 20:28

4. Ni muhimu kwa kuwa kinaonekana kuwa mada yenye nguvu kubwa sana mbinguni .

3

a. Luka 9:30-31

b. Ufunuo 5:8-12

II. Maana ya Kifo cha Yesu

Haiwezekani kufundisha juu ya Baba isipokuwa kwa njia ya Mwanawe Yesu Kristo. ~ Cyprian (c. 250, W), 5.542. Ibid. uk. 574.

A. Yesu alikufa kama fidia kwa ajili ya wengi .

1. Ushahidi wa kibiblia

a. Mathayo 20:28

b. Wagalatia 3:13

Made with FlippingBook - Share PDF online