The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide

1 2 2 /

UFALME WA MUNGU

B. Ufufuo ni kazi ya Mungu wa Utatu, Bwana (Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu) . Kila mshiriki wa utatu anahusishwa moja kwa moja na ufufuo.

1. Baba kwa njia ya Roho, Rum. 8:11.

2. Yesu Kristo kama mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, Kol. 1:18.

C. Ufufuo ni ufufuo halisi, kufufuka kwa wafu katika mwili .

1. Rum. 8:11.

2. 1 Wakorintho 15:20 na kuendelea inazungumzia uhakika wa ufufuo wa kimwili kutoka kwa wafu, ufufuo wa Yesu ukiwa ni kielelezo cha ufufuo wa wote watakaokuja.

4

D. Ufufuo utakuwa ufufuo wa wote wenye haki na wasio haki.

1. Kufufuliwa kwa wenye haki:

a. Kunaelezwa mara nyingi kuwa wa uhakika.

b. Kuhusiana na thawabu, Isa. 26:9; Luka 14:14; Fil. 3:11.

2. Kufufuliwa kwa wasioamini:

a. Kunahusishwa na aibu na fedheha ya milele, Dan. 12:2.

Made with FlippingBook Learn more on our blog