The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide

/ 1 2 3

UFALME WA MUNGU

b. Kunahusishwa na hukumu ya Mungu, Ufu. 20:12-15.

IV. Kweli kuhusu Hukumu ya Mwisho

ukurasa 352  13

A. Hukumu ya mwisho bado haijatokea; ni hukumu ya wakati ujao .

1. Hukumu hii inahusishwa na jumla ya maisha ya mtu, baada ya kifo chake.

2. Hukumu kufuata baada ya kifo cha mtu, na baada ya Ujio wa Mara ya Pili, Ebr. 9:27.

3. Mwana wa Adamu kumlipa kila mtu sawa sawa na yale aliyotenda, Mt. 16:27.

4

B. Hukumu ya mwisho ina Yesu Kristo akihudumu kama Hakimu wa wote .

1. Ushuhuda wa Yesu kuhusu jukumu lake katika hukumu, Yohana 5:22, 27.

2. Uthibitisho wa Paulo wa ushuhuda wa Yesu unatokea katika sehemu kadhaa katika Agano Jipya:

a. 2 Kor. 5:10

b. 2 Tim. 4

Made with FlippingBook Learn more on our blog