The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide

/ 2 7

UFALME WA MUNGU

II. Matokeo ya pili ya Anguko, Sarx : kupotoshwa na kukengeuka kwa asili ya mwanadamu (kama matokeo ya kosa la Adamu). Mambo manne muhimu kuzingatia kuhusu dhambi:

ukurasa 313  16

A. Dhambi ya kibinafsi: yote yanayofanywa, kufikiriwa, na kusemwa katika maisha yetu ambayo ni kinyume au kushindwa kuendana na tabia ya Mungu.

1. Rum. 3:23.

1

2. Kutofuata tabia na mapenzi ya Mungu katika matendo ambayo tunafanya au tunashindwa kufanya.

3. Dhambi kama chipukizi la kutotii kwa wanadamu wawili wa kwanza waliokataa utawala wa Mungu.

B. Asili ya dhambi: “mwili,” yaani asili ya dhambi ya wanadamu.

1. Rum. 5:19

2. Efe. 2:3

3. Upinzani wa Adamu kwa utawala wa Mungu ulimfanya kuchukua asili potovu na iliyoharibika.

a. Watoto wa Adamu wanashiriki hatia yake na asili yake.

b. Kutotii kwa Adamu kunaonekana sasa katika mapenzi, dhamiri, na akili zetu.

Made with FlippingBook Learn more on our blog