The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide

2 8 /

UFALME WA MUNGU

c. Roho Mtakatifu ndani ya mfuasi: uwezo wa kuushinda mwili, Rum. 8:1-4.

C. Kuhesabiwa dhambi na hatia: hatia kama inavyohukumiwa kwa msingi wa dhambi ya Adamu. Jinsi gani? (Taz. Warumi 5:12-18).

1. Rum. 5:12. Dhambi iliingia ulimwenguni kupitia mtu mmoja, na kifo kupitia dhambi.

1

2. Rum. 5:15. Wengi walikufa kwa kosa la mtu mmoja, Adamu.

3. Rum. 5:17. Kwa sababu ya kosa la mtu mmoja, Adamu, kifo kimetawala juu ya wanadamu wote kupitia dhambi yake.

4. Rum. 5:18. Hukumu inahesabiwa juu ya wanadamu wote kupitia kosa la mtu mmoja, Adamu.

5. Kwa hesabu ya Mungu, ulimwengu wote, Wayahudi na Wamataifa, wanahesabika kuwa chini ya dhambi, k.m. Rum. 3:9 na Gal. 3:22.

D. Kifo, kipengele cha nne na cha mwisho cha matokeo ya dhambi.

1. Rum. 6:23.

2. Kifo cha kimwili NA kifo cha kiroho

a. Hakuna ushirika na Mungu,

Made with FlippingBook Learn more on our blog