The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide

/ 4 9

UFALME WA MUNGU

III. Utawala wa Mungu umezinduliwa kupitia watu wake Israeli, ambao Mungu aliwachagua Kuwa kichwa cha mataifa, na ambao kutoka kwao Masihi angetoka.

ukurasa 322  7

A. Israeli ilichaguliwa kuwa ufalme wa makuhani wa kifalme ili kudhihirisha utukufu wa Mungu.

1. Kut. 19:3-6

2. Israeli ilichaguliwa kuwa chombo ambacho Mungu angekitumia kujitambulisha kwa mataifa.

2

B. Katika familia za Yuda katika Israeli, Mungu anapanua ahadi ya agano kwa Mfalme Daudi, ambaye ukoo wake unakuwa ukoo mteule ambao kutokea huo Mzao wa Kimasihi wa Mungu angekuja, 2 Sam. 7:12-16.

1. Sasa tunaweza kufuatilia historia.

a. Proto-evangelium , Mwa. 3:15,

b. Agano na Ibrahimu, Mwa. 12:3,

c. Utambulisho wa Yuda kama kabila ambalo Masihi angetokea hatimaye, Mwa. 49:8-10,

d. Agano na ukoo wa Daudi, 2 Sam. 7:12-17,

2. Uthibitisho kwa Daudi kama familia ambayo kwayo Masihi mwenyewe angekuja.

Made with FlippingBook Learn more on our blog