The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide
/ 5 9
UFALME WA MUNGU
j. Wanafunzi kumi na mmoja kwenye mlima wa Galilaya, Mt. 28:16-20
k. Wanafunzi wakati wa kupaa kwake, Lk 24:44-53
l. Stefano kabla ya kuuawa kwake, Mdo 7:55-56
m. Paulo akiwa njiani kuelekea Dameski, Mdo 9:3-6
n. Paulo huko Uarabuni, Mdo 20:24
2
o. Paulo hekaluni, Mdo 22:17-21
p. Paulo gerezani huko Kaisaria, Mdo 23:11
q. Mtume Yohana katika maono ya Ufunuo, Ufu. 1:12-20
D. Ufufuo wake unamaanisha nini?
1. Ufufuo wake ni ishara ya cheo chake cha Uwana mtakatifu, Rum. 1:4.
2. Ufufuo wake ni utimilifu wa agano la Daudi kama Petro anavyosema katika mahubiri yake ya Pentekoste, Mdo. 2:25-31.
3. Ufufuo wake pia unadhihirisha kwamba Kristo sasa ndiye chanzo cha uzima mpya kwa wote wanaomwamini (1 Yoh. 5:11-12).
Made with FlippingBook Learn more on our blog