The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide

/ 8 1

UFALME WA MUNGU

2. Ibada ya hekalu

Kazi ya kwanza ya Kanisa kama wakala wa Mungu ni kulitukuza jina lake katika ibada.

F. Mahali pa ibada kwa jumuiya iliyokombolewa: maono ya watakatifu wa Mungu katika ufunuo wa Yohana Mtume.

II. Kanisa ni wakala wa Ufalme wa Mungu kupitia ushahidi wake wa kitume.

ukurasa 336  11

A. Tumeitwa kutoa ushuhuda wa habari njema ya Ufalme katika Yesu Kristo.

1. Kama viungo vya mwili wa Kristo, tumeitwa kuwa mabalozi wa Yesu Kristo, 2 Kor. 5:18-21.

3

2. Utume Mkuu, amri ya kufanya wanafunzi wa Yesu ulimwenguni pote, imetolewa kwa Kanisa, Mt. 28:18-20.

3. Wito wa kushuhudia hata miisho ya dunia, kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, Mdo. 1:8.

4. Waumini binafsi wameitwa kutoa ushuhuda wa kuvutia katika maisha na neno kwa wale walio katika nyanja zao za ushawishi, 1 Pet. 3:15-16.

a. Ukweli uliodhihirishwa kihistoria: palipo na Kanisa, utume upo.

b. Kila kusanyiko na kila mkristo ameitwa kuhudumu.

Made with FlippingBook Learn more on our blog