The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide

/ 9 3

UFALME WA MUNGU

Kipindi kijacho tutakamilisha moduli yetu ya Ufalme kwa kuangazia Kukamilishwa kwa Ufalme, na masuala yote magumu lakini matukufu yanayohusiana na ujio wa Yesu duniani ili kusimamisha Ufalme wake ulimwenguni. Msifu Mungu kwamba ahadi ya Mungu siku moja itatimizwa kihalisi, wakati Bwana wetu atakaporudi kumwangamiza shetani na wafuasi wake milele na kurudisha shalom ya ufalme wa Mungu milele katika ulimwengu huu. Je, haishangazi kwamba linaitwa “Tumaini Lenye Baraka”? (taz. Tito 2:11-15).

Kuelekea somo linafuata

3

Made with FlippingBook Learn more on our blog