The Kingdom of God, Swahili Student Workbook

7 6 /

UFALME WA MUNGU

b. Anamtukuza Kristo katikati ya mwili (Yohana 16:14).

c. Anamfunua Kristo kwa waliopotea, Mt. 16:17.

d. Anawaunganisha waamini katika mwili, Efe. 4:3.

e. Anawaita wanaume na wanawake waaminifu kwenye huduma, Mdo. 13:2.

f. Anatoa karama kwa viungo vya mwili kama apendavyo kwa ajili ya kuujenga, 1 Kor. 12:7.

g. Roho Mtakatifu ni Bwana, Roho, akitupatia ishara na maajabu ya nguvu za Ufalme ndani ya kanisa letu la mahali.

3

III. Kanisa pia ndio mahali pa maisha halisi ya ufalme.

Madokezo ya G.E. Ladd kuhusu Ufalme: • Kanisa si Ufalme, bali ni udhihirisho wa Ufalme. • Ufalme huunda Kanisa. • Kanisa linashuhudia habari za Ufalme ulimwenguni. • Kanisa ni chombo cha Ufalme. • Kanisa ni mlinzi [wakala] wa Ufalme.

A. Ufalme wa Mungu unadhihirika katika maisha na ushuhuda wa Kanisa.

1. Utukufu wa Mungu wa Shekina unadhihirika sasa katika Kanisa kupitia nafsi ya Roho Mtakatifu, Efe. 2:21-22.

Made with FlippingBook - Online catalogs