Theology of the Church, Swahili Mentor Guide

1 2 2 /

THEOLOJIA YA KANISA

B. Kisha, Kanisa la Yesu Kristo ni takatifu. Kanisa limetakaswa, kufanywa takatifu, kupitia huduma ya Yesu Kristo.

ukurasa 259  5

1. Kanisa linafanywa takatifu, kutakaswa, na kutengwa kwa damu ya Yesu Kristo, Ebr. 10:10-14.

2. Kanisa linafanywa takatifu kupitia uwepo na huduma ya Roho.

a. 1 Kor. 3:16-17

b. Muunganiko huu na Mungu kwa njia ya Roho unafanywa kuwa msingi wa utii na usafi wa Kanisa, 1 Kor. 6:19-20.

3. Kanisa pia linafanywa takatifu, kutakaswa, na kutengwa kwa ajili ya milki ya Mungu na matumizi yake kupitia utii wake kwa mapenzi ya Mungu na Neno lake, Yoh. 17:15-19.

4

C. Tena, Kanisa ni “katoliki,” yaani la ulimwengu wote.

ukurasa 260  6

1. Kanisa lina tamaduni nyingi na ni la kihistoria: yaani, linajumuisha waamini kutoka katika tamaduni mbalimbali kutoka enzi na zama zote. Halizuiliwi na tamaduni, au lugha, au ukoo, au nchi.

a. Ufu. 5:8-10

b. Ufu. 7:9-10

Made with FlippingBook - Share PDF online