Theology of the Church, Swahili Mentor Guide
1 2 2 /
THEOLOJIA YA KANISA
B. Kisha, Kanisa la Yesu Kristo ni takatifu. Kanisa limetakaswa, kufanywa takatifu, kupitia huduma ya Yesu Kristo.
ukurasa 259 5
1. Kanisa linafanywa takatifu, kutakaswa, na kutengwa kwa damu ya Yesu Kristo, Ebr. 10:10-14.
2. Kanisa linafanywa takatifu kupitia uwepo na huduma ya Roho.
a. 1 Kor. 3:16-17
b. Muunganiko huu na Mungu kwa njia ya Roho unafanywa kuwa msingi wa utii na usafi wa Kanisa, 1 Kor. 6:19-20.
3. Kanisa pia linafanywa takatifu, kutakaswa, na kutengwa kwa ajili ya milki ya Mungu na matumizi yake kupitia utii wake kwa mapenzi ya Mungu na Neno lake, Yoh. 17:15-19.
4
C. Tena, Kanisa ni “katoliki,” yaani la ulimwengu wote.
ukurasa 260 6
1. Kanisa lina tamaduni nyingi na ni la kihistoria: yaani, linajumuisha waamini kutoka katika tamaduni mbalimbali kutoka enzi na zama zote. Halizuiliwi na tamaduni, au lugha, au ukoo, au nchi.
a. Ufu. 5:8-10
b. Ufu. 7:9-10
Made with FlippingBook - Share PDF online