Theology of the Church, Swahili Mentor Guide

3 2 /

THEOLOJIA YA KANISA

b. Ufu. 22:5

6. Ujira wa uaminifu katika maisha haya ya sasa.

a. 2 Tim. 4:8

b. Yak. 1:12

1

c. Ufu. 2:10

7. Miujiza mipya isiyoweza kufikirika ambayo inazidi maelezo au uelewa.

a. 1 Kor. 2:9

b. 1 Yoh. 3:2

Kuokolewa katika maana ya kibiblia ni kushiriki katika uzoefu huu kama sehemu ya watu wa Mungu waliochaguliwa kupokea hayo. Mbingu mpya na nchi mpya hazitakaliwa na watu wa taifa fulani, bali na jamii mpya ambayo Mungu ameiita kutoka duniani. Mtu yeyote ambaye hachukui nafasi yake miongoni mwa watu wa Mungu wanaporithi baraka hizi anahesabiwa kuwa “amepotea.”

C. Paulo na Petro wote wanauelezea wokovu kama tendo la kuwa sehemu ya “watu wa Mungu.”

1. 1 Pet. 2:10

2. Efe. 1:18-23

Made with FlippingBook - Share PDF online