Theology of the Church, Swahili Mentor Guide
/ 8 5
THEOLOJIA YA KANISA
1. Yesu ndiye Mteule ( elektos ) wa Mungu, Mt. 16:16.
2. Yesu kama Jiwe la Thamani la Mungu, Jiwe la Pembeni la Jengo la Mungu; Yeye ni jiwe la Mungu, teule na la thamani, jiwe lililokataliwa na waashi, ambalo Mungu ameliweka kuwa jiwe kuu la Pembeni.
a. 1 Pet. 2:4
b. Zab. 118:22-23
3. Zaidi ya hayo, Yesu ni Mwana pekee na mpendwa wa Mungu, ambaye tunapaswa kumsikiliza na kumwamini.
3
a. Yoh. 1:34
b. Luka 9:35
c. Rej. Yoh. 6:35
4. Wale waliomdharau alipokuwa msalabani walimdhihaki kwa jina la “Kristo wa Mungu, mteule wake,” Lk. 23:35.
B. Yesu pia ni Mtumishi wa Yehova, aliyechaguliwa kumwakilisha katika kuufunua utukufu wake na kuukomboa ulimwengu.
1. Nyimbo za Mtumishi katika Isaya (rej. Isa. 41:8-9 na Isaya 42:1)
Made with FlippingBook - Share PDF online