Theolojia Katika Picha

5 2 2 /

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Viwango vya Mamlaka Vinavyotolewa kwa Matokeo ya Matumizi ya Agano la Kale katika Msingi wa Kristo Mch. Dkt. Don L. Davis

Agano la Kale linahusiana na Agano Jipya, na kwa msaada wa Roho Mtakatifu na uthibitisho wa Maan diko tunaweza kuchunguza uhusiano huu kati ya watu na matukio ya Agano la Kale ili kuelewa jinsi yanavyomshuhudia na kutumika kama vivuli vya Masihi, Yesu wa Nazareti.

Isiyo ya kibiblia Ya kukubalika Yenye Kushawishi Ya lazima kufuata

Kukanusha Maandiko

Kinachoweza kuthibitishwa kibiblia

Uzushi

Kinachoshikiliwa na Wakristo

Kukana ukweli wa kihistoria

Kila mahali

Wakati wote

Katika maeneo yote

Makosa ya kuepuka:

1. Kudhani kwamba hakuna uhusiano uliopo

Ebr. 5:11-14; 1 The.5:21; Yoh. 7:24; Isa. 8:19-20

2. Kudhani kwamba kuna kitu, lakini hatuwezi kukiona

3. Kuchukulia kuwa kuna kitu, ninaweza kukiona, lakini sihitaji kuthibitisha ushirika wangu

Made with FlippingBook Digital Publishing Software