Theolojia Katika Picha

/ 7 5

R e p r e s e n t a n d o l a t e o l o g í a

Jedwali Mpangilio wa Agano Jipya Robert Yarbrough

Tarehe

Historia ya kikristo

AJ

Historia ya warumi

C. 28-30

Huduma ya hadharani ya Yesu

Injili

14-37, Tiberius, mfalme mkuu

C.33

Kuongoka kwa Paulo

Matendo 9.1-3

Paulo kutembelea Yerusalemu kwa mara ya kwanza baada ya kuongoka

C.35

Gal. 1.18

C.35-46

Paulo katika Cilicia na Syria

Gal. 1.21

C.37-41, Gaius, mfalme mkuu; c. 41-54, Claudius, mfalme mkuu

Gal. 2; matendo 11.27-50

C.46

Paulo kutembelea Yerusalemu kwa mara ya pili

Paulo na Barnaba katika Kipro na Galatia (safari ya kwanza)

C.47-48

Matendo 13-14

C.48?

Barua kwa Wagalatia

C.49

Baraza la Yerusalem

Matendo 15

Paulo na Sila kutoka Shamu Antiokia kupitia Asia ndogo hali Makedonia na Achaia (safari ya pili)

C. 49-50

Matendo 15.36-18.21

C.50

Barua kwa Wathesalonike

C.51-52; Gallio, Proconsul ya Achaia C.52-59; Felix, mnunuzi wa Yudea

C.50-52

Paulo katika Korintho

Kiangazi 52

Matembezi ya Paulo Yerusalemu kwa mara ya tatu

C.52-55

Paulo katika Efeso

C.54-68; Nero, mfalme mkuu

C.54-56

Barua kwa Wakorintho

Paulo katika Makedonia, Illyricum, na Achaia (safari ya tatu)

C.55-57

Matendo 18.22-21.15

Mapema mwaka wa 57

Barua kwa Warumi

Paulo kutembelea Yerusalemu kwa mara ya nne na ya mwisho

Mai 57

Matendo 21.17

C.59; festo alimrithi felix kama wakala wa hazina wa uyahudi

C.57-59

Kufungwa kwa paulo katika kaisaria

Matendo 23.23

Septemba 59

Safari ya paulo kwa rumi yaanza

Matendo 27-28

Februari.60

Paulo awasili Rumi

C.60-62

Kukamatwa kwa paulo kifungo cha nyumbani Rumi

Nyaraka za kifungoni (waefeso, wafilipi, wakolosai, Filemoni)

C.62; kifo cha festo, albinos wakala wa uyahudi

C.60-62?

C.65?

Paulo atembelea Spain (safari ya nne?)

C.64, moto wa rumi

Barua za kichungaji (Timotheo ya kwanza naya pili, Tito)

C??

C.65?

Kifo cha paulo

Made with FlippingBook Digital Publishing Software