Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi

/ 1 0 7

U O N G O F U & W I T O

1. Msijiwekee hazina duniani.

a. Mathayo 6:19-21

b. Luka 14:33

2. Upendo huu utatufanya kuupa kisogo umaarufu na utajiri unaohusishwa na maisha haya.

C. Wito wa ufuasi unahusisha mateso kutoka kwa wale wanaomchukia Bwana.

1. Mathayo 10:22-25

2. Matendo 14:21-22

4

3. 2 Timotheo 3:12

4. Yohana 12:24-26

5. 1 Petro 2:21-25

II. Wito wa Ufuasi Unamaanisha kwamba Tumeitwa Kuishi kama Wageni na Wasafiri katika Ulimwengu huu.

A. Tumeagizwa kuangaza kama nuru katika ulimwengu huu wa sasa wa uovu, Flp. 2:14-16.

1. Sisi si wa mfumo wa ulimwengu huu wa sasa, Yoh. 17:14-18.

Made with FlippingBook flipbook maker