Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi

/ 2 1

U O N G O F U & W I T O

3. Linasifiwa pamoja na jina lake takatifu, Zab. 138:1-2.

4. Linasifiwa kwa uhalisi wake wa milele, Mt. 24:35.

5. Ukamilifu, nuru, kuaminika na uaminifu wa Neno la Mungu unakubaliwa na kuthibitishwa, Zaburi 19 & 119.

ukurasa 178  6

II. Mungu Mwenyezi, Akitenda Kupitia Nguvu ya Uumbaji ya Neno Lake, Aliumba Vitu Vyote Ulimwenguni.

1

A. BWANA, Mungu wa Israeli, ndiye Muumba wa mbingu na nchi; ulimwengu haukujisababisha wenyewe wala haujitegemei.

1. Mwanzo 1:1

2. Mithali 16:4

3. Waebrania 1:10

B. Pili, Mungu aliumba ulimwengu “ ex nihilo ,” yaani pasipo chochote.

1. Ebr. 11:3

2. Zab. 33:6

3. Zab. 33:8-9

Made with FlippingBook flipbook maker