Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi
/ 2 1
U O N G O F U & W I T O
3. Linasifiwa pamoja na jina lake takatifu, Zab. 138:1-2.
4. Linasifiwa kwa uhalisi wake wa milele, Mt. 24:35.
5. Ukamilifu, nuru, kuaminika na uaminifu wa Neno la Mungu unakubaliwa na kuthibitishwa, Zaburi 19 & 119.
ukurasa 178 6
II. Mungu Mwenyezi, Akitenda Kupitia Nguvu ya Uumbaji ya Neno Lake, Aliumba Vitu Vyote Ulimwenguni.
1
A. BWANA, Mungu wa Israeli, ndiye Muumba wa mbingu na nchi; ulimwengu haukujisababisha wenyewe wala haujitegemei.
1. Mwanzo 1:1
2. Mithali 16:4
3. Waebrania 1:10
B. Pili, Mungu aliumba ulimwengu “ ex nihilo ,” yaani pasipo chochote.
1. Ebr. 11:3
2. Zab. 33:6
3. Zab. 33:8-9
Made with FlippingBook flipbook maker