Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi
2 2 /
U O N G O F U & W I T O
4. 2 Pet. 3:5
C. Mungu aliumba ulimwengu kupitia Logos , Neno la Mungu, ambaye ni Yesu Kristo.
1. Yohana 1:1-3
2. Kol. 1:16
1
3. Neno la Mungu lina nafasi ya juu katika kazi ya uumbaji ya Mungu katika ulimwengu – Neno la Mungu ni Neno linaloumba!
ukurasa 178 7
III. Kuna Uhusiano wa Karibu kati ya Mwenyezi Mungu na Neno Lake, yaani, “Neno.”
A. Mungu amejidhihirisha kupitia ufunuo wa jumla. Ufunuo wa jumla ni ule ufunuo wa Mungu ambao unaweza kupatikana kwa watu wote kila wakati.
1. Mungu amejidhihirisha kwa ujumla katika mpangilio wa uumbaji asilia, katika utukufu wa uumbaji na asili, Zab. 19:1.
2. Mungu amejidhihirisha kwa ujumla katika historia ya wanadamu: watu wa Israeli.
3. Mungu amejidhihirisha kwa ujumla katika asili ya mwanadamu, Zaburi 8.
a. Akili
Made with FlippingBook flipbook maker