Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi
/ 2 3
U O N G O F U & W I T O
b. Dhamiri
c. Sifa za kiadili na kiroho
B. Mungu pia amejidhihirisha kupitia ufunuo maalum. Kwa ufunuo maalum tunamaanisha kujifunua kwa Mungu kwa watu mahususi kwa nyakati na mahali mahususi kwa makusudi yake mwenyewe.
1
1. Mungu amejidhihirisha katika ufunuo maalum kupitia matukio ya kihistoria.
a. Maisha ya mababa wa Imani
b. Tukio la Kutoka
c. Ujenzi wa Hekalu
2. Mungu amejidhihirisha katika ufunuo maalum kupitia usemi wa kiungu.
a. “Neno la Bwana,” liwe limetolewa kwa sauti, katika ndoto, au katika maono.
b. Njia hii ilikamilishwa katika Neno “kauli,” Maandiko Matakatifu.
3. Mungu amejidhihirisha mwenyewe katika ufunuo maalum kupitia umwilisho wa Neno katika nafsi na kazi ya Yesu Kristo.
Made with FlippingBook flipbook maker