Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi

/ 2 5

U O N G O F U & W I T O

a. Yesu ndiye Neno-mtu la ufunuo wa Mungu, akitoa ushahidi wa mwisho wa nafsi ya Mungu, Mt. 11:27.

b. Yesu ndiye Neno-mtu la ukombozi ambalo linaturudisha kwa Mungu (Yohana 14:6).

Hitimisho

» Maandiko Matakatifu ni Neno la Mungu la uumbaji; kumbukumbu iliyoandikwa ya Neno la Bwana lenye uzima na la milele. Maandiko yanategemeka kabisa na hayakosei. » Mungu aliumba ulimwengu wote kupitia Neno lake la uumbaji na linalotoa uhai.

1

» Mungu anajitambulisha kikamilifu na Neno katika nafsi ya Yesu Kristo.

Tafadhali chukua muda wa kutosha kujibu maswali haya na mengine yaliyoibuliwa katika video kuhusu uwezo wa uumbaji wa Neno la Mungu. Jibu kwa uwazi na kwa ufupi, na inapowezekana, tumia Maandiko! 1. Ni kwa njia gani Maandiko yanadai kwamba yenyewe ni Neno la Mungu? Sentensi ya kwamba Maandiko yamevuviwa kwa pumzi ya Mungu mwenyewe inamaanisha nini? 2. Ni nini maana ya fundisho la Biblia kwamba Neno la Mungu “linaishi na linadumu milele”? 3. Je, inawezekanaje kwamba Mungu alivuvia tu Neno lake bila kuamuru Neno la Mungu kwa waandishi (yaani kuwaelekeza neno kwa neno), au kuwaweka katika ndoto na kuchukua akili zao? Biblia ina maana gani inaposema kwamba waandishi “waliongozwa” na Roho Mtakatifu? 4. Kwa nini mwamini anaweza kujua kwamba Maandiko ni yenye kuaminika na kutegemeka kabisa? 5. Nini maana ya: Neno la Mungu linaadhimishwa na kusifiwa kila mahali katika Maandiko Matakatifu?

Sehemu ya 1

Maswali kwa Wanafunzi na Majibu

ukurasa 179  8

Made with FlippingBook flipbook maker