Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi

2 8 /

U O N G O F U & W I T O

1. Tunashikilia mtazamo huu juu ya mamlaka ya Yesu Kristo.

a. Majaribu ya Yesu

b. Nukuu ya Kumbukumbu la Torati: jukumu la pekee la Neno la Mungu, Kumb. 8:3, taz. Mt. 4:4

2. Neno la Mungu lina uzima wa ajabu wa kiroho na uwezo wa kiuumbaji wa kuangaza rohoni, Zab. 19:7-11.

1

3. Hakuna sehemu yoyote ya Neno la Mungu inayopaswa kuchukuliwa kuwa haina maana au iliyopitiliza; kila nukta itatimizwa, wala haitapita hata moja.

4. Mungu anakataa kabisa kuvunja ahadi yake ya agano: Maandiko ni ya kuaminiwa kwa sababu Mungu ni mwaminifu.

a. 2 Wafalme 13:23

b. 1 Nyakati 16:14-17

C. Mungu hutoa ufahamu wa Neno lake kwa kumtuma Roho wake Mtakatifu kwa waamini, 1 Kor. 2:9-16.

1. Asiyeamini (yaani, “mtu wa asili”) hana Roho Mtakatifu, na kwa hiyo hawezi kuelewa ujumbe au mafundisho ya Neno.

Made with FlippingBook flipbook maker