Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi
2 8 /
U O N G O F U & W I T O
1. Tunashikilia mtazamo huu juu ya mamlaka ya Yesu Kristo.
a. Majaribu ya Yesu
b. Nukuu ya Kumbukumbu la Torati: jukumu la pekee la Neno la Mungu, Kumb. 8:3, taz. Mt. 4:4
2. Neno la Mungu lina uzima wa ajabu wa kiroho na uwezo wa kiuumbaji wa kuangaza rohoni, Zab. 19:7-11.
1
3. Hakuna sehemu yoyote ya Neno la Mungu inayopaswa kuchukuliwa kuwa haina maana au iliyopitiliza; kila nukta itatimizwa, wala haitapita hata moja.
4. Mungu anakataa kabisa kuvunja ahadi yake ya agano: Maandiko ni ya kuaminiwa kwa sababu Mungu ni mwaminifu.
a. 2 Wafalme 13:23
b. 1 Nyakati 16:14-17
C. Mungu hutoa ufahamu wa Neno lake kwa kumtuma Roho wake Mtakatifu kwa waamini, 1 Kor. 2:9-16.
1. Asiyeamini (yaani, “mtu wa asili”) hana Roho Mtakatifu, na kwa hiyo hawezi kuelewa ujumbe au mafundisho ya Neno.
Made with FlippingBook flipbook maker