Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi
/ 2 9
U O N G O F U & W I T O
2. Mtu wa kiroho, (yaani, yule ambaye ana Roho Mtakatifu na anaongozwa naye), sio tu kwamba anaelewa kile ambacho Neno la Mungu linasema, lakini pia huepuka hukumu ya wale wanaoshindwa kuelewa.
3. Roho yule yule aliyevuvia Neno ndiye anayelifasiri, 2 Pet. 1:21.
II. Ishara ya Kweli ya Uanafunzi ni Kuendelea Ndani ya Neno na kukaa katika Neno la Mungu kama Lishe.
1
A. Dalili ya ufuasi wa kweli ni kuendelea na kudumu katika Neno la Kristo.
1. Yohana 8:31-32
2. “Kukaa” ni kuendelea kuwepo, mtu kufanya makao yake ndani ya-, kukaa ndani ya-, Zab. 1:1-3.
3. Maana ya kudumu ni sawa na dhana ya AK ya kutafakari.
a. Zab. 1:1-3
b. Yos. 1:8
B. Ukuaji na ukomavu wa kiroho unategemea kujilisha kweli za Neno la Mungu linaloumba na kuleta uzima.
Made with FlippingBook flipbook maker