Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi

5 0 /

U O N G O F U & W I T O

2. Neno la Mungu lilizalisha uthibitisho na toba kwa mabaki ya Israeli baada ya utumwa, likiwaongoza kumtukuza Mungu katika dhabihu na utii wao, Ezra 7:10-.

3. Neno la Mungu lilizalisha toba ya dhambi katika uamsho mkuu wa Yosia ambao ulilihuisha taifa, 2 Wafalme 22:13.

ukurasa 185  8

II. RohoMtakatifu, kupitiaNeno laMungu, AnauthibitishaUlimwengu kwa habari ya Haki.

A. Neno la Mungu linafunua mambo manne ya haki.

2

1. Mungu Mwenyezi ni mwenye haki kabisa katika nafsi yake. Haki yake inafunuliwa kuwa isiyobadilika na isiyo na mwisho.

a. Tabia ya Mungu ya haki haibadiliki wala haina kigeu-geu kamwe, Yakobo 1:17.

b. Mungu ni mwenye haki katika kila jambo analofanya, Kum. 32:4.

2. Haki ya wanadamu imetiwa doa na haikubalika kwa Mungu, Isa. 64:6-7.

3. Jambo la tatu kuhusu haki ya kibiblia ni ile haki ambayo Mungu anatuhesabia kwa sababu tumemwamini Yesu Kristo.

a. Rum. 3:21-23

b. 2 Kor. 5:21

Made with FlippingBook flipbook maker