Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi

/ 5 3

U O N G O F U & W I T O

C. Hukumu ya Mungu itakuwa kali na ya ulimwengu wote: Mungu Mwenyezi atawawajibisha watu wote sawasawa na mwitikio wao kwa mapenzi yake matakatifu.

1. Mungu atawahukumu Israeli na mataifa, Rum. 10 na 11.

2. Mungu atalihukumu Kanisa, 1 Pet. 4:17.

3. Mungu atamhukumu Shetani na malaika walioasi, Ufu. 20:10.

2

4. Mungu atawahukumu waovu waliokufa, Ufu. 20:11-15.

Hitimisho

» Neno la Mungu, kama chombo cha Roho Mtakatifu, linauthibitishia ulimwengu kwa habari ya dhambi, haki, na hukumu. » Kwa habari ya dhambi, Neno la Mungu hututhibitishia kuhusu kutotii kwetu Sheria ya Mungu na kushindwa kuoanisha maisha yetu na tabia na matakwa yake matakatifu. » Kuhusiana na haki, Neno la Mungu linafunua umbali kati ya Bwana kama Mungu mwenye haki isiyo na kikomo na haki yetu wenyewe, ambayo haikubaliki kwake.

Made with FlippingBook flipbook maker