Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi

6 0 /

U O N G O F U & W I T O

III. Neno la Mungu Linatuthibitishia kuhusu Ukweli Kupitia Ushahidi waManabii naMitume,WajumbewaMunguwaKweliWaliovuviwa. Mungu Amelifunua Neno kupitia Manabii, Yesu Kristo, na Wajumbe wake Walioteuliwa: Mitume Wake.

ukurasa 187  13

A. Nyakati zilizopita Mungu alizungumza kupitia manabii .

1. Mungu alizungumza na watu wake wateule kupitia manabii, Ebr. 1:1.

2. Ujumbe wa Mungu kupitia manabii wake ulibeba muhtasari mkuu wa nia yake ya kuwaokoa wanadamu, 1 Pet. 1:10-12.

2

B. Hatimaye, Mungu amezungumza na ulimwengu kikamilifu kupitia Yesu Kristo .

1. Yesu ndiye ufunuo wa mwisho wa Mungu kwa wanadamu, Ebr. 1:2.

2. Yesu pekee ndiye aliyeufunua utukufu wa Baba, Yohana 1:18.

3. Hakuna chanzo kingine cha ufunuo kinachotosha kama Kristo, Kol. 2:8-10.

C. Yesu alikabidhi kwa Mitume ujumbe wake mkuu na wenye tumaini.

1. Walichaguliwa moja kwa moja kuwa pamoja na Kristo na kuhubiri katika jina lake (Mk. 3:13-15).

Made with FlippingBook flipbook maker