Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi

/ 8 1

U O N G O F U & W I T O

2. Tunakombolewa (wakati uliopo) kutoka katika nguvu za dhambi kwa njia ya Roho Mtakatifu.

a. Fil. 2:12-13

b. Rum. 8:1-4

3. Hatimaye, tutakombolewa (wakati ujao) kutoka katika uwepo wa dhambi wakati wa Ujio wa Pili wa Yesu Kristo.

a. Yohana 14:1-4

b. 1 Yohana 3:1-3

3

II. Neno Linalogeuza kwa Ufanisi Linatuongoza kwenye Metanoia , yaani, kwenye Toba. Vipengele vya kibiblia vya toba :

A. Toba inahusisha badiliko la nia .

1. Mathayo 21:28-29 inaonyesha maana hii ya toba, jinsi mwana alivyobadilisha nia yake.

2. Mwana mpotevu alitubu, alibadili nia yake na kuamua kurudi nyumbani kwa baba yake, Lk 15:17-18.

3. Petro aliwaamuru Wayahudi siku ya Pentekoste watubu, wabadili nia zao, na waje kwa Yesu Kristo, Mdo. 2:38.

Made with FlippingBook flipbook maker