Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi
8 8 /
U O N G O F U & W I T O
b. Shukuruni kwa kila jambo, kwa kuwa haya ni mapenzi ya Mungu kwenu, 1 Thes. 5:16-18.
2. Roho Mtakatifu huimarisha maombi ya ndani ya Mkristo kwa njia za kina za kiroho, Rum. 8:26-27.
3. Sisi tuliookoka tunalia “Aba, Baba!” (Kiaramu, “ papa !”) mioyoni mwetu, tukimlilia Mungu, Baba yetu atutimizie mahitaji yetu, Rum. 8:15.
C. Ishara nyingine ya ndani ya uongofu ni uwazi na njaa ya Neno la Mungu .
1. Kama watoto wachanga waliozaliwa, waamini wa kweli hutamani maziwa ya Neno la Mungu, chanzo cha nguvu na lishe yao, 1 Pet. 2:2.
3
2. Huduma ya kufundisha ya Roho Mtakatifu huzalisha viwango vipya vya utambuzi, njaa, na bidii kwa ajili ya Neno la Mungu.
a. 1 Kor. 2:15
b. 1 Yohana 2:27
c. Yohana 16:12-15
3. Kupitia kujilisha Neno la Mungu, mwamini huongezeka katika ufahamu wa Kristo , 2 Tim. 1:12.
Made with FlippingBook flipbook maker