Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi
/ 8 9
U O N G O F U & W I T O
D. Ishara ya mwisho ya ndani ya uongofu inahusiana na uwezo wa kumsikiliza Yesu Kristo na kumfuata . Waamini wapya wanaitambua na kuifuata sauti ya Mwokozi.
1. Wale wanaomjua wataisikiliza sauti yake, wala hawataifuata sauti ya wageni (Yohana 10:1-6).
2. Ushirika na Mungu unategemea kuendelea kutembea katika nuru , na kupokea utakaso kupitia damu ya Yesu kwa ajili ya dhambi katika maisha ya mtu, 1 Yoh. 1:5-10.
3. Wale walio wa Mungu wanatamani kumfuata Mungu na kutafuta njia za kuitikia ipasavyo mapenzi yake yaliyonenwa na kufunuliwa, 1 Yohana 2:3-6.
3
II. Neno la Mungu Linazalisha Ndani ya Mkristo Ishara za Nje za Wokovu Ambazo Zinatoa Ushahidi wa Toba na Imani ya Kweli.
ukurasa 195 10
A. Uhusiano thabiti na utambulisho pamoja na Wakristo wengine – watu wa Mungu kama familia yake mpya na jamaa zake wapya.
1. Neno la Mungu ni mbegu inayozaa “kuzaliwa upya” katika familia ya Mungu .
a. Tusipozaliwa kutoka juu kwa “maji” na kwa Roho, hatuwezi kuingia katika Ufalme wa Mungu. (1) Yohana 1:12-13 (2) Yohana 3:5
b. Neno la Mungu ni “ mbegu ” na “ neno lililopandikizwa ” ambalo huzaa maisha mapya ndani yetu, Yakobo 1:18, 21.
Made with FlippingBook flipbook maker