Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi
9 0 /
U O N G O F U & W I T O
2. Akiwa amesafishwa na Neno liletalo uzima, mwamini mpya anakaliwa na Roho Mtakatifu ndani yake na kupewa asili mpya ambayo “inafanywa upya katika ufahamu kwa mfano wa Muumba wake.”
a. Kol. 3:9-11
b. Efe. 2:19
3. Baada ya kuzaliwa katika familia ya Mungu, waamini wapya wanakuwa washirika wa nyumba ya Mungu na kuwa na hamu ya kukua na kuwa pamoja na waamini wengine, Gal. 3:26-28.
4. Wale ambao wameongoka kweli kweli hawatapuuza umuhimu wa ushirika, bali watajitambulisha na kushirikiana pamoja na watu wa Mungu kama watu wao wapya , Ebr. 10:24-25.
3
5. Wale wanaokataa ushirika na mwili wa Kristo hujidhihirisha kuwa aidha wana nia ya kiulimwengu, au wao si mali ya Mungu kabisa, 1 Yoh. 2:19.
B. Wale ambao wamelipokea Neno liletalo badiliko watadhihirisha zaidi na zaidi tabia za Yesu katika maisha yao.
1. Kusudi la Mungu ni kuwafanya watoto wake wote wafanane na Mwanawe .
a. Warumi 8:28-29
b. 2 Wakorintho 3:18
Made with FlippingBook flipbook maker