Uongofu na Wito, Swahili Module 1 Mwongozo wa Mkufunzi

/ 9 1

U O N G O F U & W I T O

c. Mathayo 11:28-30

2. Tunda la Roho linapatikana kwa mwamini mpya kwa imani (yaani, huzalishwa na Roho Mtakatifu ndani ya mwamini), Gal. 5:22-23.

3. Yule aliye na tumaini la utukufu katika Kristo atajitakasa kama Kristo alivyo mtakatifu (1 Yoh. 3:2-3).

C. Ishara ya nje ya upendo na huduma kama ya Kristo kwa waamini wengine .

1. Katika hili wote watajua ninyi mmekuwa wanafunzi wangu, mkiwa na upendo (Yoh. 13:34-35).

3

2. Yeye asiyependa, hamjui Mungu (1 Yohana 4:7-8).

3. 1 Yohana 3:14

D. Ishara ya nje ya shauku inayodhihirishwa hadharani ya kushirikisha Habari Njema kwa waliopotea , na wale wasiomjua Kristo.

1. Tutaonyesha utayari unaoongezeka zaidi wa kutangaza Habari Njema kwa wale wasiomjua Kristo.

a. Fil. 1:18

b. Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu, 1 Pet. 3:15.

Made with FlippingBook flipbook maker