Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme wake kupitia Kanisa
134
Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme Wake Kupitia Kanisa
Marko 1:14-15 - Hata baada ya Yohana kutiwa gerezani, Yesu akaenda Galilaya, akiihubiri Habari Njema ya Mungu, 15
kuzungumza na kutenda katika mamlaka ya
mwingine kwa niaba ya maslahi na sifa zake.
ni kuchaguliwa kusimama katika nafasi ya mwingine, na hivyo kutimiza wajibu uliokabidhiwa, kutumia haki na kutumika kama naibu wa, pamoja na
Kumwakilisha mwingine
Upelekaji Ujumbe
Huduma ya Yesu Kristo
Ya Mahubiri ya Hadhara
akisema, Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.
Mwakilishi wa Mungu katika Uwasilishaji na
Mara Roho akamtoa aende nyikani. 13 Akawako huko jangwani siku arobaini, hali akijaribiwa na Shetani ; naye alikuwa pamoja na wanyama wa mwitu, na malaika walikuwa wakimhudumia. Mwenye Uwezo wa Kupigana Bwana Yesu
Kama Mwenye Mamlaka ya
Kuzungumza.
Kama Kristo, Mwakilishi Mkamilifu wa Mungu
Kujaribiwa kwa Yesu Kristo Changamoto na Ukinzani dhidi ya Mwakilishi wa Mungu Marko 1:12-13 Kama
Aliyechaguliwa Kuwakilisha.
kutoka majini, akaona mbingu zinapasuka, na Roho, kama hua, akishuka juu yake; 11 na s auti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe Mwanangu, mpendwa wangu; nimependezwa nawe.
5. Kazi mpya baada ya Tathmini , Wafilipi 2:9-11
Yohana 10:17-18 2. Kufadhiliwa na Dhamana ,
Yohana 3.34; Luka. 4:18 3. Kuingizwa kazini , Yohana 5:30 4. Kujibiwa kwa Tathmini ,
Marko 1:9-11 - Ikawa siku zile, Yesu alikuja kutoka Nazareti ya Galilaya, akabatizwa na Yohana katika Yordani. 10 Mara alipopanda
Ya Kuwa Mjumbe .......................... 1. Kupokea Kazi ,
Ubatizo wa Yesu Kristo Mwakilishi wa Mungu
Mathayo 3:16-17
Yesu Anatimiza Majukumu
Kupewa Mamlaka na Kuthibitishwa kwa
Kiambatisho cha 20 Kumwakilisha Masihi
Yesu kama Mwakilishi Mteule wa Mungu Mch. Dkt. Don L. Davis
Made with FlippingBook Digital Publishing Software