Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme wake kupitia Kanisa

Viambatisho

149

“Kanisa

Lililokusanyika”

Kulingana na baadhi ya wanaisimu wa Biblia, maneno yaliyotumika katika Agano Jipya kwa ajili ya kanisa katika kusanyiko, en ekklesia , yanatumika kwa kusanyiko la mahali pamoja la watu wa

Kidogo

Kikundi

inavyomstahili Bwana katika mambo yote, kuzaa matunda tele katika Kristo, kuvuna, kufuatilia, na kuwafuasa washirika ndani ya oikos zao (familia zao, marafiki, maisha ya Ufalme.

Mungu amewateua viongozi katika Kanisa ili kuwakamilisha Wakristo kwa ajili ya “kazi ya huduma,” ili waweze kutembea Kikundi Kidogo

na watu wanaohusiana nao), na kuwa na bidii katika matendo mema ya kufunua

la nyumbani hadi kanisa kuu (yaani, mkusanyiko wowote wa waumini Muundo wa Usharika Muundo wa Usharika wanaojitambulisha wenyewe kwa wenyewe, kutoa na kuhudumu pamoja, chini ya kiongozi mmoja wa kichungaji, ambapo

Mungu “wanapokusanyika pamoja kama kanisa,” taz. 1 Kor. 11:18. Kwa hiyo watu wa Mungu wanaweza kuitwa “kanisa/kusanyiko,” yaani,

wale ambao kwa imani katika Yesu Kristo na Roho wake Mtakatifu sasa wanawawakilisha watu wake walioitwa katika mahali fulani na eneo fulani. Makundi ya makanisa ambayo yanaungana pamoja kwa ushirikiano kwa ajili ya kusaidiana, kuburudishwa, huduma, na utume (k.m., Mashirika, madhehebu, makongamano, n.k).

Kidogo

Kikundi

Sehemu yoyote

Kanisa la Mahali

Pamoja

inayotambulika ya kusanyiko kubwa zaidi, k.m., Kikundi Seli,

Ushirika wa Wanawake, Kikundi cha Maombi,

Kanisa pamoja kama kitu kimoja, kutoka kanisa

uwepo wao na utii wao unaonyeshwa na kujulikana).

ya Huduma ya Mtaa, Timu ya Kufikia Magereza, n.k.

Mafunzo ya Biblia, Darasa la Shule ya Jumapili, Timu

- Kufikia walio ndani (kufuasa, ushirika, kutoa huduma, n.k.) - Kufikia walio nje (uinjilisti, huduma, ushuhudiaji)

Miktadha Mitatu ya Kazi ya Uongozi I. Kuunda, Kuongoza, na Kuzalisha Maisha na Huduma ya Kikundi Kidogo Chenye Nguvu

II. Kuwezesha na Kuzalishwa Maisha na Huduma Muhimu katika Kusanyiko III. K ukuza na Kuendeleza Tabia ya Kikundi Kidogo

Masaidiano, Umoja na Ushirikiano Baina ya Makusanyiko

lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake. 3

Kidogo

Kikundi

Kiambatisho cha 31 Aina Tatu za Muktadha wa Ukuzaji wa Uongozi wa Kikristo Mjini Mch. Dkt. Don L. Davis ~ Waefesho 4:11 – Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu. Chini ya sisi sote “Sisi” (Kanisa langu) Zaidi ya sisi sote Kikundi Kidogo

Enendeni, angalieni, nawatuma kama wana kondoo kati ya mbwa-mwitu” (Luka 10:2-3).

Mungu amewapa viongozi wa Kanisa vipawa vya kipekee – mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji na waalimu ili

“Kanisa Lililokusanyika” liweze kujengwa na kuwezeshwa kutimiza utume na huduma yake linapotawanyika, kama mtu mmoja mmoja katika ulimwengu. “Akawaambia, Mavuno ni mengi,

Made with FlippingBook Digital Publishing Software