Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme wake kupitia Kanisa
28
Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme Wake Kupitia Kanisa
a. Uwepo endelevu wa Mungu, Roho Mtakatifu (Mdo 13:2).
b. Karama na nguvu za Roho (Mdo 1:8; 6.3).
3. Mungu ndiye mwanzilishi wa wito kwa kila mtu ambaye anamwita katika huduma.
a. Ezekieli, Eze. 2:1-8
b. Mitume, Mt. 4:18-22
c. Kuhani mkuu, Ebr. 5:4
d. Paulo
(1) Mdo. 13:2
(2) Rum. 1:1
(3) Gal. 1:1-.
4. Kama Bwana wa mavuno na kichwa cha Kanisa, Yesu Kristo peke yake ndiye anayegawa na kuwateua viongozi kwa kazi yao miongoni mwa watu wa Mungu (Efe. 4:7-11).
5. Ingawa Mungu peke yake ndiye anayetoa wito wa huduma, wito halisi wa uongozi utaonyeshwa kwa uzoefu na kuthibitishwa na mamlaka halali ya kiroho .
a. Paulo, Gal. 2:6-10
b. Timotheo, 2 Tim. 1:14
Made with FlippingBook Digital Publishing Software