Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme wake kupitia Kanisa

28

Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme Wake Kupitia Kanisa

a. Uwepo endelevu wa Mungu, Roho Mtakatifu (Mdo 13:2).

b. Karama na nguvu za Roho (Mdo 1:8; 6.3).

3. Mungu ndiye mwanzilishi wa wito kwa kila mtu ambaye anamwita katika huduma.

a. Ezekieli, Eze. 2:1-8

b. Mitume, Mt. 4:18-22

c. Kuhani mkuu, Ebr. 5:4

d. Paulo

(1) Mdo. 13:2

(2) Rum. 1:1

(3) Gal. 1:1-.

4. Kama Bwana wa mavuno na kichwa cha Kanisa, Yesu Kristo peke yake ndiye anayegawa na kuwateua viongozi kwa kazi yao miongoni mwa watu wa Mungu (Efe. 4:7-11).

5. Ingawa Mungu peke yake ndiye anayetoa wito wa huduma, wito halisi wa uongozi utaonyeshwa kwa uzoefu na kuthibitishwa na mamlaka halali ya kiroho .

a. Paulo, Gal. 2:6-10

b. Timotheo, 2 Tim. 1:14

Made with FlippingBook Digital Publishing Software