https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

2 8 /

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

d. Waefeso 2:7

2. Kwa njia ya Yesu Kristo na kazi yake: Yesu wa Nazareti ndiye kitovu cha kazi ya Mungu ya wokovu na ukombozi ulimwenguni.

a. Matendo 10:42-43

b. 1 Wakorintho 3:11

1

c. 1 Timotheo 2:5-6

d. 1 Yohana 5:11-12

3. Katika uwezo wa Roho Mtakatifu: nafsi ya Roho Mtakatifu ni nguvu ya utendaji wa kazi ya utume.

a. Zekaria 4:6

b. Yohana 16:13-15

c. Luka 24:49

d. Matendo 1:8

e. Matendo 2:1-4

Made with FlippingBook Annual report maker