https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

/ 3 1

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

b. Kuonyesha ukamilifu wake katika ulimwengu, Zab. 19:1.

c. Kujikusanyia jamii ya watu kwa ajili yake mwenyewe, Isa. 43:7, 21.

3. Siri ya kuasi : uasi wa «Nyota ya Alfajiri» (Lusifa), Isa. 14:12-20; Eze. 28:13-17.

4. Enzi na mamlaka, Kol. 2:15.

1

B. Mwanzo wa Wakati (Uumbaji), Mwa. 1-2.

1. Neno liumbalo la Mungu wa Utatu, Mwa. 1:3; Zab. 33:6,9; Zab. 148:1-5.

2. Kuumbwa kwa wanadamu: Imago Dei , Mwa. 1:26-27.

C. Mwanzo wa Wakati (Anguko na Laana), Mwa. 3.

1. Anguko na Laana, Mwa. 3:1-9.

2. Protoevangelium : Uzao ulioahidiwa; Mwanzo 3:15.

3. Mwisho wa Edeni na utawala wa kifo, Mwa. 3:22-24.

4. Ishara za kwanza za neema, Mwanzo 3:15, 21.

Made with FlippingBook Annual report maker