https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

/ 3 7

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

5. Enzi Ijayo: Mungu wa Utatu kutawala kama yote katika yote.

a. Zek. 14:9

b. Yer. 23:6

c. Mt. 1:23

1

d. Zab. 72:8-11

e. Mik. 4:1-3

f. Zek. 2:10

III. Dondoo za mwisho za utume kama Tamthilia ya Nyakati Zote

A. Kusudi kuu la Mungu ndilo msingi wa historia yote ya mwanadamu.

1. Anafanya kila limpendezalo, Zab. 135:6.

2. Mashauri na mipango ya Mungu husimama milele, kwa vizazi vyote.

a. Zab. 33:11

b. Zab. 115:3

Made with FlippingBook Annual report maker