https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

5 0 /

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

a. Yer. 32:40 (rej. Ebr. 8:6-12)

b. Mt. 26:28

c. Luka 22:20

d. 2 Kor. 3:6

1

5. Yesu wa Nazareti, kwa sababu ya kifo chake msalabani, ametukuzwa na Mungu na kuinuliwa daraja la juu sana, na anatawala kwa idhini ya Mungu.

a. Matendo 2:22-23

b. Matendo 2:32-36

6. Ahadi iliyotolewa kwa Ibrahimu ilitangazwa kwa Israeli kwamba imetimizwa katika nafsi ya Yesu wa Nazareti.

a. Luka 1:72-74

b. Matendo 3:25-26

7. Mungu amemwinua Yesu kuwa Kiongozi na Mwokozi wa Israeli ili kutoa toba na msamaha (Mdo. 5:30-31).

8. Hakuna wokovu katika mwingine ila Yesu wa Nazareti; utume unatokana na ahadi ya Mungu ndani yake, Mdo 4:11-12.

Made with FlippingBook Annual report maker