https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi
/ 7 9
MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO
e. Amosi 3:2
B. Wito wa upendo: fadhili za Bwana kwa watu wake; Eze. 16
1. Asili ya kusikitisha ya Israeli, Eze. 16:1-5, taz. Eze. 16:5.
2. Rehema ya Mungu na namna alivyoitunza Israeli mpaka akawa mzuri na akaendelea kuwa wa kifalme, Eze. 16:8-14, taz. Eze. 16:13-14.
3. Israeli aliuamini uzuri wake na akafanya uasherati na wachumba wengi, bila kuchagua, Eze. 16:15-22.
2
4. Mahusiano haramu ya Israeli na Misri, Waashuru, na Wakaldayo, Eze. 16:23-34, taz. Eze. 16:30-32
5. Hukumu ya Mungu juu ya watu wake wazinzi, Israeli, Eze. 16:35-43, Eze. 16:42-43.
C. Kuvunjika: kutokuwa na imani kwa watu wa Mungu.
1. Israeli iliacha upendo wake kwa Mungu, ingawa Mungu kamwe hakuacha upendo wake kwa Israeli, Yer. 2:2.
2. Ahadi ya agano ambayo Israeli ilitoa kwa Mungu ilikubaliwa kwa moyo wote, ikionyesha kujitoa na upendo kwa Mungu kama mume.
a. Kut. 24:3-8
b. Hos. 3:1
Made with FlippingBook Annual report maker