https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

/ 7 9

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

e. Amosi 3:2

B. Wito wa upendo: fadhili za Bwana kwa watu wake; Eze. 16

1. Asili ya kusikitisha ya Israeli, Eze. 16:1-5, taz. Eze. 16:5.

2. Rehema ya Mungu na namna alivyoitunza Israeli mpaka akawa mzuri na akaendelea kuwa wa kifalme, Eze. 16:8-14, taz. Eze. 16:13-14.

3. Israeli aliuamini uzuri wake na akafanya uasherati na wachumba wengi, bila kuchagua, Eze. 16:15-22.

2

4. Mahusiano haramu ya Israeli na Misri, Waashuru, na Wakaldayo, Eze. 16:23-34, taz. Eze. 16:30-32

5. Hukumu ya Mungu juu ya watu wake wazinzi, Israeli, Eze. 16:35-43, Eze. 16:42-43.

C. Kuvunjika: kutokuwa na imani kwa watu wa Mungu.

1. Israeli iliacha upendo wake kwa Mungu, ingawa Mungu kamwe hakuacha upendo wake kwa Israeli, Yer. 2:2.

2. Ahadi ya agano ambayo Israeli ilitoa kwa Mungu ilikubaliwa kwa moyo wote, ikionyesha kujitoa na upendo kwa Mungu kama mume.

a. Kut. 24:3-8

b. Hos. 3:1

Made with FlippingBook Annual report maker