https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

8 0 /

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

3. Kwa sababu ya ukosefu wa uaminifu wa watu wake, Mungu alilazimika kuwaadhibu (aliwapeleka watu wake uhamishoni kama adhabu).

a. Isa. 63:7-10

b. Omb. 1:1-8

4. Mungu aliwaona Waisraeli kama mke mwenye hila anayemwacha mume wake bila sababu.

2

a. Isa. 54:6

b. Yer. 3:20

5. Mungu aliwasihi watu wake wamrudie.

a. Yer. 3:1

b. Yer. 3:8

c. Yer. 3:14

6. Watu wa Mungu walipokataa kumrudia, aliwapeleka uhamishoni.

a. Ufalme wa Kaskazini, Israeli, ulipelekwa utumwani uhamishoni na Waashuru, mwaka wa 720 K.W.K.

(1) 2 Fal. 15:29 (2) Isa. 10:5-6

Made with FlippingBook Annual report maker