https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

/ 8 1

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

b. Ufalme wa Kusini, Yuda, ulipelekwa utumwani uhamishoni na Wababiloni mwaka wa 588 K.W.K.

(1) 2 Fal. 25:8-9 (2) 2 Nya. 36:18

c. Miaka sabini ya utumwa wa Yuda inaanzia kutoka kipindi ambacho hekalu liliharibiwa (2 Fal. 25:9) hadi urejesho kamili (Ezra 6:15).

D. Bibi-arusi anarudi nyumbani.

2

1. Koreshi atoa ruhusa kwa mabaki ya Wayahudi kurudi katika nchi yao.

a. Ezra 1:5

b. Ezra 7:13

2. Wengi waliokuwa wa ufalme wa Israeli walijiunga na mabaki haya chini ya Ezra, Zerubabeli, na Nehemia kwenda Yerusalemu (Yer. 50:4-4, 17-20, 33-35).

E. Ahadi ya agano jipya la upendo.

1. Hos. 2:19-20

2. Kwamba Mungu atatosheleza ghadhabu yake na kuwarudisha watu wake kwenye nafasi yao ya rehema na ukuu.

a. Isa. 40:1-2

Made with FlippingBook Annual report maker