https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

/ 8 7

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

a. Tumefanyika mmoja katika Kristo, 1 Kor. 6:15-17.

b. Tulibatizwa ndani yake, 1 Kor. 12:13.

c. Tulikufa pamoja naye, Rum. 6:3-4.

d. Tulizikwa pamoja naye, Rum. 6:3-4.

e. Tulifufuliwa pamoja naye, Efe. 2:4-7.

2

f. Tumepaa pamoja naye, Efe. 2:6.

g. Tunaketi pamoja naye katika ulimwengu wa roho, Efe. 2:6.

h. Tunateseka pamoja naye, Rum. 8:17-18.

i. Tutatukuzwa pamoja naye, Rum. 8:17.

j. Tutafufuliwa katika yeye, 1 Kor. 15:48-49.

k. Tutabadilishwa tufanane naye (1 Yohana 3:2).

l. Sisi ni warithi pamoja naye, Rum. 8:17.

m. Tutakuwa pamoja naye milele, 1 Thes. 4:17.

n. Tutatawala pamoja naye milele, Ufu. 3.

Made with FlippingBook Annual report maker