https://user-fNLORqa.cld.bz/Misingi-ya-Utume-wa-Kikristo-Mwongozo-wa-Mkufunzi

9 4 /

MISINGI YA UTUME WA KIKRISTO

A. Mungu wa Utatu kama Bwana Mkuu juu ya mbingu na dunia.

1. Bwana ndiye muumbaji na mtegemezaji wa vitu vyote, na anatawala vitu vyote kulingana na hekima yake, Isa. 40:21-31, taz. Isa. 40:28.

a. Zaburi 33:6

b. Zaburi 104:5-6

c. Zaburi 136:6

2

d. Yeremia 10:16

2. Kama Bwana Mwenyezi aliye juu ya yote, mapenzi ya Mungu yalitawala juu ya vitu vyote katika viumbe vyote mahali pote, Zab. 135:6.

a. Zaburi 33:11

b. Zaburi 115:3

c. Danieli 4:35

B. Siri ya kuasi: vita mbinguni kupitia uasi wa kishetani, Isa. 14:12-17.

1. Wakati fulani, baada ya kuumbwa kwa vitu vyote, kulikuwa na uasi mbinguni uliochochewa na kiumbe wa Mungu, Lusifa, aliyeitwa “nyota ya Alfajiri.”

Made with FlippingBook Annual report maker