Kristo: Mada Kuu Ya Biblia

Kristo Katika Injili Nne

Kitabu Mada

Mathayo Mfalme (Zek. 9:9) Wayahudi

Marko

Luka

Yohana

Mtumishi (Isa. 52:13)

Mtu (Zek. 6:12)

Mungu (Isa. 40:10)

Hadhira

Warumi Hakuna

Wayunani Ulimwengu Adamu Mungu

Ukoo Wa Abrahamu na Daudi

Ametokana na

Nasaba ya kifalme

(Hakuna)

Wanadamu (Adamu)

Umilele

Ishara

Simba (Ezek. 1:10)

Ng’ombe

Mtu

Tai

Mkazo Alichofundisha Alichofanya Alichotafuta Alichofikiri Alichotoa Haki (3:15) Huduma (10:45) Ukombozi (19:10) Uzima (10:10)

Neno Kuu Anatajwa kama

Enzi

Huduma Ubinadamu Uungu

Mwokozi Aliyeahidiwa

Mwokozi Mwenye Nguvu

Mwokozi Mkamilifu

Mwokozi Binafsi

Mathayo: Kristo Anadhihirishwa kama Mfalme Ukoo wake unafuatiliwa hadi kwa mtawala mmoja (Mwana wa Daudi) na dhabihu moja (Mwana wa Ibrahimu) (Mt. 1:1). Kristo anawakilishwa na ishara ya simba (Eze. 1:10), mfalme wa wanyama. Kwa maneno ya Zekaria, Wayahudi wanaambiwa, “Tazama, mfalme wako anakuja kwako” (9:9). Marko: Kristo Anadhihirishwa Katika Huduma Yake Yeye ni Mtumishi wa Yehova (Isa. 53:11), aliyefananishwa na ng’ombe dume, na kutambulishwa kwa Warumi. Ukoo wake haufuatiliwi (mja hahitaji ukoo), lakini utendaji wake ndio unaotawala. Mathayo alisisitiza kile Yesu alichofundisha, lakini Marko alisisitiza kile Yesu alichofanya (Marko 10:45), kama Isaya alivyosema, “Tazama, mtumishi wangu” (Isa. 52:13).

115

Made with FlippingBook Digital Publishing Software