Kristo: Mada Kuu Ya Biblia

Zab. 119:138

Uaminifu

Ufu 19:11 Yh 14:6 Ebr. 4:15 Ebr. 1:8 Ebr. 13:8 1 Kor. 1:24 1 Pet. 2:7 Ufu. 19:15 Ebr. 7:25 1 Kor. 1:2 Tito 2:14 1 Yh 1:7 Mt. 4:24 Yh 6:58 Gal. 5:1 Yh 5:21 1 Pet. 1:3 Yh 8:12 Yh 6:51 Isa. 9:6

Yh 17:17 Yh 10:35 Mt. 5:18

Kweli

Bila Kosa (Dhambi) Lisiloweza kuharibika

1 Pet. 1:24-25

Halibadiliki

Rum. 1:16*

Nguvu za Mungu

2 Pet. 1:4 Ebr. 4:12

La thamani

Upanga Mkali

Zab. 119:105

Nuru Mkate

Lk 4:4 (nukuu ya Kum. 8:3)

Zab. 119:129 1 Kor. 15:2 1 Tim. 4:5 1 Petro 1:22 Zab. 119:9 Zab. 107:20

La ajabu

Linahifadhi Linatakasa Linasafisha Linasafisha Linaponya

1 Pet. 2:2

Linalisha

Yh 8:32

Linakomboa

Zab. 119:50 1 Pet. 1:23

Linafanya kuwa Hai

Linazaa Wana Linaishi Milele

Mt. 5:18 Ufu. 1:18 * Baadhi ya mistari hii inarejelea neno lililonenwa la Mungu ambalo baadaye lilikuja kuwa Neno la Mungu lililoandikwa. MFANANO KATI YA NENO HAI NA NENO LILILOANDIKWA Kuna baadhi ya sifa zenye uwiano wa kushangaza kati ya Neno la Mungu lililo hai na lililoandikwa: kati ya Mwokozi na Maandiko. Ulinganisho kwenye jedwali inayofuata utaonyesha baadhi ya uwiano huo.

128

Made with FlippingBook Digital Publishing Software