Kristo: Mada Kuu Ya Biblia
• Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia (Yh 5:39). Namna Nne za Kulitazama Agano la Kale katika Msingi wa Kristo
Mtazamo: Kristo Anatazamwa Kama Anayetimiza Agano la Kale
Kristo Anatazamwa kama Masihi na Mfalme Kuhani na Dhabihu Nabii na Mwalimu Mwokozi na Bwana
Ambapo Imeonyeshwa
Andiko
Luka na Matendo
Luka 24:27,44 Unabii wa Kimasihi
Waebrania 10:7
Ukuhani wa Kilawi
Waebrani
Mathayo 5:17 Sheria za Maadili
Mathayo
Yohana na Ufunuo
Yohana 5:39 Ahadi za Wokovu
KRISTO: UTIMILIFU WA UNABII WA KIMASIHI WA AGANO LA KALE Suala la kwamba manabii wa Agano la Kale walitabiri juu ya kuja kwa Kristo au Masihi linaweza kueleweka na kuthibitishwa kutokana na aya nyingi za Agano la Kale lenyewe, bila kutegemea utimilifu wa Agano Jipya. Waamini wa Agano la Kale walitazamia ujio wa Mwokozi tangu mwanzo kabisa (taz. Mwa. 3:15; 49:10), ingawa neno Masihi [aliyetiwa mafuta] lilitumiwa kwa mara ya kwanza kuhusu Mfalme wao ajaye katika 1 Samweli 2:10. Kwa hivyo, uchunguzi wa Agano la Kale ili kupata utabiri wake wa Kimasihi ni njia yenye msingi wa Kristo ambayo ni halali na yenye faida. Miongoni mwa maandiko yaliyovuviwa ya Agano Jipya inaonekana
35
Made with FlippingBook Digital Publishing Software