Kristo: Mada Kuu Ya Biblia
Malaika (Mjumbe) wa Bwana ni Bwana Yesu Kristo Rejea kuhusu Mjumbe wa Bwana Sifa au Kazi Inayofanana
Rejea kuhusu Kristo
Mwa. 16:7, 13 Mwa. 48:15-16 Kut. 3:2, 5, 6, 14 Am. 13:15, 18
Anaitwa “Bwana” Anaitwa “Mungu” Alijiita “Mimi Niko”
Yh 20:28 Ebr. 1:8 Yh 8:58
Jina Lake Aliitwa “Waajabu”
Isa. 9:6
Kut. 23:20 Kut. 14:19
Alitumwa na Mungu
Yh 5:30; 6:38
Kuongoza watu wa Mungu
Mt. 28:20
Isa. 63:9
Alipenda na Kukomba walio wake
Efe 5:25
Yos. 5:13-15
Amiri wa Jeshi la Bwana
Ufu. 19:11-14
Ni muhimu kutambua kwamba “mjumbe wa BWANA” anahusianishwa na Bwana (Yehova, Yahweh), kama ilivyo katika sehemu nyingi zilizonukuliwa katika jedwali, lakini pia anatofautishwa na Bwana. Katika Isaya 63:9, kwa mfano, malaika anatofautishwa na Bwana kama “malaika wa uso wake” (mst. 9). Katika Mwanzo 24:7 malaika “anatumwa” kutoka kwa Mungu, na katika Zekaria 1:12 kuna mazungumzo kati ya “BWANA” na “malaika wa BWANA.” Kwamba mjumbe huyu wa Bwana ni Kristo katika Agano la Kale ni jambo lililo dhahiri kutokana na ukweli kwamba Yeye ametofautishwa na Mungu, ametumwa kutoka kwa Mungu, anafanya kazi ya kuwakomboa na kuwaongoza watu wake, ambapo yote hayo ni huduma za Kristo kama zinavyojulikana katika Agano Jipya. Na baada ya Kristo kuzaliwa, huyu malaika wa Bwana haonekani wala kutajwa tena. Hitimisho Somo hili limejikita katika kufafanua ukweli kwamba Kristo ndiye ufunguo wa ufasiri wa Maandiko ya Agano la Kale kwa msingi kwamba alithibitisha mara tano kwamba Yeye ndiye utimilifu au ujumbe wa Agano
57
Made with FlippingBook Digital Publishing Software