Kristo: Mada Kuu Ya Biblia

pengine suala muhimu zaidi linaloshughulikiwa ni lile la uhusiano kati ya njia hizi mbili za ufunuo wa Mungu – Kristo na Maandiko. Hoja inayotetewa hapa ni kwamba kusudi la ufunuo wa Maandiko ni kumfunua Mwokozi; Biblia ni chombo cha Mungu cha kuwasilisha ujumbe wa Kristo na, kwa sababu hiyo, hatutakiwi kujifunza Biblia kwa kusudi la kuifahamu tu, bali tunapaswa kuichunguza kwa kusudi la kumpata Kristo, kwa kuwa “huyo manabii wote humshuhudia” (Mdo 10:43).

8

Made with FlippingBook Digital Publishing Software