The Kingdom of God, Swahili Mentor Guide

/ 4 5

UFALME WA MUNGU

1. Mgawanyo wa Biblia katika sehemu mbili zisizolingana:

a. Kutoka Mwanzo 1:1 hadi Mwanzo 3:15.

b. Kutoka Mwanzo 3:16 hadi mwisho wa kitabu, Ufunuo 22:21.

2. Katika hukumu ya Mungu dhidi ya nyoka katika Mwanzo 3:15, Bwana anatoa muundo wa msingi wa nguvu za kiroho katika ulimwengu, tamthilia ya Ufalme katika taswira.

2

3. Utambulisho wa wahusika wa tamthilia ya ufalme wa Mungu.

a. Mgogoro wa kudumu, usio na kikomo kati ya nyoka na mwanamke.

b. Uzao wa mwanamke – Masihi ajaye.

c. Uzao wa nyoka – uzao wa yule mwovu (nyoka).

d. Uzao wa mwanamke ungeponda kichwa cha nyoka, na nyoka angeponda kisigino cha Uzao huo.

B. Tremper Longman na Daniel Reid: picha ya Mungu kama Shujaa wa Kiungu imeanzia katika kitabu cha Mwanzo na kuendelea hadi kitabu cha Ufunuo.

Made with FlippingBook Learn more on our blog