Theology of the Church, Swahili Mentor Guide

2 8 /

THEOLOJIA YA KANISA

a. Yoh. 8:34

b. Rum. 6:20-21

c. Kol. 1:13

3. Kwa kuwa Mungu ndiye chanzo cha wema wote, upotevu wetu na kutengwa naye pamoja na matendo yetu maovu kumesababisha adhabu na hukumu.

1

a. Rum. 2:5-6 ( Ona pia Efe. 2:3)

b. Yoh. 3:36

III. Njia pekee ya watu kuokolewa ni kwa kuunganishwa na Kristo, na kupitia Yeye kuunganishwa na Mungu Baba.

A. Umoja na Kristo:

ukurasa 224  12

1. 2 Kor. 5:17

2. Yohana 15:5

3. Gal. 2:19b-20

4. Rum. 6:5

Made with FlippingBook - Share PDF online