Theology of the Church, Swahili Mentor Guide
2 8 /
THEOLOJIA YA KANISA
a. Yoh. 8:34
b. Rum. 6:20-21
c. Kol. 1:13
3. Kwa kuwa Mungu ndiye chanzo cha wema wote, upotevu wetu na kutengwa naye pamoja na matendo yetu maovu kumesababisha adhabu na hukumu.
1
a. Rum. 2:5-6 ( Ona pia Efe. 2:3)
b. Yoh. 3:36
III. Njia pekee ya watu kuokolewa ni kwa kuunganishwa na Kristo, na kupitia Yeye kuunganishwa na Mungu Baba.
A. Umoja na Kristo:
ukurasa 224 12
1. 2 Kor. 5:17
2. Yohana 15:5
3. Gal. 2:19b-20
4. Rum. 6:5
Made with FlippingBook - Share PDF online